Kituo cha Taarifa na Maarifa Ukenyenge wakikabidhi mchango wa fedha kwa viongozi wa Gender Club ya shule ya sekondari Ukenyenge kwaajili ya kununualia mahitaji muhimu kwa wasichana.
Hali halisi ya upatikanaji wa maji katika Halmashauri ya Kishapu ni changamoto hasa kwa wanawake na watoto. muda mwingi unatumika na wanawake kutafuta maji badala ya kufanya shughuli za Maendeleo hasa uchumi.
No comments:
Post a Comment