Sauti ya Jamii
(Community Voice Media) ni jukwaa la habari zinazohusu wananchi wa vijijini
hasa wanawake, watoto na wanaume ambao wapo pembezoni. Ni jukwaa lenye habari
zote za kijamii na kijinsia ambazo zitakuhabarisha kwa undani ni kitu gani
wananchi wanafanya huko vijijini, sauti zao juu ya upatikanaji wa huduma za
jamii kama maji, Kilimo, Elimu, afya na uboreshwaji wa huduma za kilimo
vijijini. Katika Mtandao huu utapata habari mchanganyiko na picha zinazoeleza
juu ya hali halisi ilivyo vijijini na kuwapa watu wasio na sauti nafasi ya
kupaza sauti yao.
No comments:
Post a Comment