Mtandao huu bado upo kwenye matengenezo, punde utapata matukio katika picha, habari, makala na taarifa mbali za kijamii...Endelea kutufuatilia

Wednesday, January 31, 2018

  Wanafunzi wa kike wa sekondari washiriki kikamilifu
 katika kuibua mijadala hasa masuala yanayohusu mustakabali wa elimu nchini
 Wanaharakati kutoka Mkoa wa Singida walioshiriki katika Tamasha la Jinsia
la nne Ngazi ya Jamii, Mkambarani Morogoro wakiwa katika kilele cha Mlima Uluguru
 Wanakituo cha Taarifa na Maarifa Kata za Kibuko, Mkambarani,
Kiroka na Kisaki Wilaya ya Morogoro wakiwa katika kilele cha Mlima Uluguru
 Washiriki wakifuatilia kwa umakini mada zilizokuwa 
zikitolewa katika Tamasha la Jinsia
 Wanavituo vya Taarifa na Maarifa Kata za Songwa, Kishapu, Ukenyenge,
Mwaweja na Mondo Wilaya ya Kishapu wakiwa katika picha ya pamoja mjini Morogoro
 Wanavituo vya Taarifa na Maarifa kutoka Kata za Ijombe, Tembela, Mshewe,
 Igale wakiwa katika kilele cha Mlima Uluguru kudai haki ya kumiliki ardhi
Wanawake wadai haki  ya umiliki wa ardhi kwa wote na wakulima 
wadogo wanufaike na kilimo
 Wanawake walidai haki  ya umiliki wa ardhi kwa wote na wakulima wadogo wanufaike na kilimo
 Wanawake waliokuwa wameandaliwa kaajili ya tukio la uzinduzi
wa Ilani ya Wanawake kwa Uachaguzi Mkuu 2015
Washiriki wakiwa wamepozi na Mgeni rasmi, siku ya mwisho ya mafunzo

No comments:

Post a Comment